Serikali kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa mahakama kuhusu hisa za Safaricom
384 viewsYouTube
Description (show more)
Waziri wa hazina ya kitaifa John Mbadi amesisitiza kwamba pendekezo la uuzaji wa hisa asilimia 15 za serikali kutoka kampuni ya Safaricom lilifanywa kulingana na sheria. Akihutubia wanahabari mjini Kisumu mapema leo, Mbadi alisema kwamba serikali itakata rufaa dhidi ya uamuzi wa mahakama kuu uliositisha uuzaji wa hisa hizo za serikali kwa kampuni ya Vodacom, huku akisisitiza kwamba taifa lina haki la kujiendeleza kupitia miradi ya maendeleo kupitia uwekezaji mwafaka unaotokana na uuzaji halisi wa rasilmali za serikali.
Related Videos
More from Citizen TV Kenya
3:05KUPPET yataka vikao vya ufadhili wa elimu kusitishwa
· 15 views
4:30Siha na maumbile | Kumbukizi ya siku ya kuzuia kujitoa uhai duniani
· 40 views
37:53Mzozo umeibuka ndani ya kundi la Linda Mwananchi; je, hili lina maana gani kwa vuguvugu hilo?
· 87 views
1:22Kanja kuamriwa kufika kortini kwa kutotii amri
· 363 views
1:12Viongozi wamuomboleza Maureen Nyadida Lukoye
· 231 views
3:02Maandalizi ya maonesho ya kibiashara ya Nairobi yakamilika
· 14 views
1:13Familia ya Raila yatangaza kamati ya maadhimisho ya kumbukumbu
· 268 views
2:22Rais Ruto kuhudhuria kongamano la UNGA
· 14 views
