Familia moja katika eneo bunge la Runyenjes yanadai haki kufuatia kifo cha jamaa yao
Description (show more)
Familia moja kutoka kijiji cha Kiamboa, Kathanjuri katika eneo bunge la Runyenjes yataka haki itendeke kufuatia kifo cha jamaa yao, mfanyabiashara Lawrence Gitonga, maarufu kama Afro, ambaye mwili wake ulipatikana katika mto ukiwa na majeraha makubwa kichwani. Gitonga alikuwa ameripotiwa kutoweka, hali iliyozua hofu miongoni mwa familia na marafiki ambao wamtafuta kwa muda, kabla ya mwili wake kupatikana na maafisa wa polisi na kutambuliwa na familia katika mochari ya hospitali ya Runyenje Level 4
Related Videos
More from Citizen TV Kenya
3:05KUPPET yataka vikao vya ufadhili wa elimu kusitishwa
· 15 views
4:30Siha na maumbile | Kumbukizi ya siku ya kuzuia kujitoa uhai duniani
· 40 views
37:53Mzozo umeibuka ndani ya kundi la Linda Mwananchi; je, hili lina maana gani kwa vuguvugu hilo?
· 87 views
1:22Kanja kuamriwa kufika kortini kwa kutotii amri
· 363 views
1:12Viongozi wamuomboleza Maureen Nyadida Lukoye
· 231 views
3:02Maandalizi ya maonesho ya kibiashara ya Nairobi yakamilika
· 14 views
1:13Familia ya Raila yatangaza kamati ya maadhimisho ya kumbukumbu
· 268 views
2:22Rais Ruto kuhudhuria kongamano la UNGA
· 14 views
