Mahakama yaonya visa vya kutovumiliana kisiasa huenda vikahujumu demokrasia kabla ya uchaguzi
Description (show more)
Idara ya mahakama imeonya kwamba visa vya hivi punde vya kutovumiliana kisiasa huenda vikahujumu demokrasia hapa nchini kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka ujao. Katika mkutano wa kitaifa wa wadau kuhusu uchaguzi wenye amani, wanasiasa na wananchi walihimizwa kuhakikisha kwamba shughuli ya upigaji kura inafanywa kwa njia huru na inayokuza imani na heshima. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive
Related Videos
More from KBC Channel 1
3:05KUPPET yataka vikao vya ufadhili wa elimu kusitishwa
· 15 views
4:30Siha na maumbile | Kumbukizi ya siku ya kuzuia kujitoa uhai duniani
· 40 views
37:53Mzozo umeibuka ndani ya kundi la Linda Mwananchi; je, hili lina maana gani kwa vuguvugu hilo?
· 87 views
1:22Kanja kuamriwa kufika kortini kwa kutotii amri
· 363 views
1:12Viongozi wamuomboleza Maureen Nyadida Lukoye
· 231 views
3:02Maandalizi ya maonesho ya kibiashara ya Nairobi yakamilika
· 14 views
1:13Familia ya Raila yatangaza kamati ya maadhimisho ya kumbukumbu
· 268 views
2:22Rais Ruto kuhudhuria kongamano la UNGA
· 14 views
