Wafanyabiashara Nanyuki wasifia soko la kisasa wakisema litaimarisha mapato
Description (show more)
Wafanyabiashara huko Nanyuki katika kaunti ya Laikipia wanatarajiwa kunufaika na soko jipya linalojengwa na serikali ya kitaifa kwa gharama ya shilingi milioni 360. Soko hilo ambalo limekamilika kwa asilimia-95 , linatarajiwa kuwa na nafasi ya zaidi ya wafanyabiashara elfu moja pindi litakapokamilishwa kufikia mwezi Disemba mwaka huu. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive
Related Videos
More from KBC Channel 1
3:05KUPPET yataka vikao vya ufadhili wa elimu kusitishwa
· 15 views
4:30Siha na maumbile | Kumbukizi ya siku ya kuzuia kujitoa uhai duniani
· 40 views
37:53Mzozo umeibuka ndani ya kundi la Linda Mwananchi; je, hili lina maana gani kwa vuguvugu hilo?
· 87 views
1:22Kanja kuamriwa kufika kortini kwa kutotii amri
· 363 views
1:12Viongozi wamuomboleza Maureen Nyadida Lukoye
· 231 views
3:02Maandalizi ya maonesho ya kibiashara ya Nairobi yakamilika
· 14 views
1:13Familia ya Raila yatangaza kamati ya maadhimisho ya kumbukumbu
· 268 views
2:22Rais Ruto kuhudhuria kongamano la UNGA
· 14 views
