Kenyans Live

Wafanyabiashara Nanyuki wasifia soko la kisasa wakisema litaimarisha mapato

Description (show more)

Wafanyabiashara huko Nanyuki katika kaunti ya Laikipia wanatarajiwa kunufaika na soko jipya linalojengwa na serikali ya kitaifa kwa gharama ya shilingi milioni 360. Soko hilo ambalo limekamilika kwa asilimia-95 , linatarajiwa kuwa na nafasi ya zaidi ya wafanyabiashara elfu moja pindi litakapokamilishwa kufikia mwezi Disemba mwaka huu. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive

Share: