Nairobi kuandaa Mashindano ya Riadha ya Dunia 2029
Description (show more)
Mashindano ya riadha ya dunia yataandaliwa Nairobi mwaka wa 2029 baada ya kenya kushinda zabuni ya ubingwa huo. Wakati akitoa tangazo hilo huko Budapest, Hungary, rais wa riadha duniani Sebastian Coe alisema nairobi ilitoa mazingira ya kipekee na mashabiki wa riadha wenye shauku kama ilivyoshuhudiwa katika hafla za awali za riadha za dunia huko Nairobi mwaka wa 2017 na 2020. Nairobi ilizibwaga miji ya Londond, Munich na Rome
Related Videos
More from Citizen TV Kenya
3:05KUPPET yataka vikao vya ufadhili wa elimu kusitishwa
· 15 views
4:30Siha na maumbile | Kumbukizi ya siku ya kuzuia kujitoa uhai duniani
· 40 views
37:53Mzozo umeibuka ndani ya kundi la Linda Mwananchi; je, hili lina maana gani kwa vuguvugu hilo?
· 87 views
1:22Kanja kuamriwa kufika kortini kwa kutotii amri
· 363 views
1:12Viongozi wamuomboleza Maureen Nyadida Lukoye
· 231 views
3:02Maandalizi ya maonesho ya kibiashara ya Nairobi yakamilika
· 14 views
1:13Familia ya Raila yatangaza kamati ya maadhimisho ya kumbukumbu
· 268 views
2:22Rais Ruto kuhudhuria kongamano la UNGA
· 14 views
